Pages

Monday, July 1, 2013

Mmiliki Wa Facebook Mark Zuckerberg Na Wafanyakazi Wake Wakisherekea Kupitishwa Kwa Sheria Ya Ndoa Ya Jinsia Moja.

Mmiliki wa mtandao wa kijamii Facebook CEO Mark Zuckerberg amejiunga na wafanyakazi wa kampuni yake waliozidi 700 katika matembezi ya kusherekea maamuzi ya mahakama kuhusu haki za ndoa ya jinsia moja. Matembezi haya yamefanyika mitaa ya San Francisco Jumapili Asubuh. Kwa mujibu wa Wall Street Journal asilimia 15 ya wafanyakazi wa facebook.
Sheria hio inayo sherekewa Imeruhusu wanandoa wa jinsia moja kumiliki leseni ya ndoa ndani ya siku 30 baada ya kuoana. 


No comments:

Post a Comment