Foolish Age ni kazi mpya kutoka kwa Lulu itakayo tambulishwa na kuzinduliwa Dar es salaam tarehe 30 August 2013 Pale Mlimani City. Palikuwa na taarifa zisizo za ukweli kuwa filamu hii imesimamishwa na haitaonekana. Hizi sio Taarifa za ukweli. Ushaidi ndio huu, Lulu kapata Kibali Cha Kutoa Na Kuonyesha Filamu hii Ya Foolish Age.
MAFIA BOXING PROMOTION WAUNGA MKONO KAMPENI YA RAIS DKT SAMIA MATUMIZI YA
NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
KAMPUNI ya Mafia Promotion Boxing imetoa msaada wa majiko ya Gesi kwa
wanawake wanaojishughuli na uuzaji wa vyakula katika masoko...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment