Pages

Friday, August 2, 2013

PICHA:MAMA DIAMOND ALIVYOFTURU PAMOJA NA ASHA BARAKA


Mama yangu Bi Sandrah akijikoki sawa sawa tayari kuelekea
kwenye futari kwa Mama yangu
mkubwa Asha Baraka...

Mama Asha akiwahudumia wageni wake mara baada ya Adhani kuadhiniwa...


Ni vyanda tu kwenda mbele stori baadaee.....





Mjomba Mrisho nae akukosekana all the way from Kigoma
 huyu ni kaka yake Mama yangu
kabisa toka ntoke....







Kushoto ni Shangazi Latifa na Mumewe Uncle Mrisho...

Acha niwajulie hali Kigoma kwanza.......


Baada ya chakula ni matunda tu chakula kishuke saawia...





Mzee Muhidini Gurumo akionekana akigonga vyanda katikati
na Mmiliki wa Tanzania One Blog....


Diana Mama & Mwengi Ally Shem lake walikuwepo pia....


No comments:

Post a Comment