Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, September 13, 2013

HII NI SAWA?GAVANA WA KENYA AMCHAPA MAKOFI MWANAMKE ALIYEKUWA ANAULIZA MASWALI KUHUSU MISHAHARA AMBAYO HAIJALIPWA..!!TAZAMA VIDEO



 Gavana wa kenya aitwae Kidero amezidisha mipaka kwa kumpiga kofi mwanamke aliyeenda kwenye ofisini kwake na kuanza kumuuliza maswali mengi kuhusu mishahara ambayo haijalipwa kwa baadhi ya wafanyakazi wa serikali.
Gavana alikasirika mwanamke huyo alipomcofront  kuhusu issue hizo.Hapana chezea magavana wa kikenya....lol 

No comments:

Post a Comment