AZMA TV
imeanza kuonyesha mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Kituo cha
TBC1. ambapo meci ya kwanza ilikuwa ni mchezo kati ya Simba na Ruvu
Shooting, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Picha
nyingine ni baadhi ya wafanyakazi wa Crew ya AZAM TV wakiwa kazini ndani
ya Uwanja wa Taifa.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment