MSANII wa
Muziki wa Kizazi Kipya kutoka nyumba ya kukuzia vipaji
Tanzania,Estelina Sanga 'Linah', juzikati aliamua kuvunja ukimya mbele
ya kadamnasi baada ya kuziweka wazi pete za uchumba alizodai kuvishwa na
mtu mwenye mtonyo wake mnene hapa Bongo, wakati akipigwa picha hizi
Linah alidai kuwa hana jinsi ya kuendelea kujificha tena kwani umri wake
umeshafikia hatua ya kuolewa.
Rais Dkt. Samia Ahitimisha Kilele cha Mbio za Mwenge katika Uwanja wa CCM
Kirumba Jijini Mwanza
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akikata utepe kuzindua Kitabu cha kitabu maalumu kuhusu historia ya Mwenge
wa U...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment