Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, October 3, 2013

HUU NDO MWONEKANO WA MSANII NAKAAYA BAADA YA KUPATA MIMBA


Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa aliyekuwa Miss Tanzania 2005,Nancy Sumari,Nakaaya Sumari amepost picha mbalimbali mtandaoni akiwa na ujauzito ambao unaonyesha atajifungua muda wowote kutokana na ukubwa wake... mcheki hapa..



 Watu mbalimbali wamempongeza Nakaaya na kumtakia kila la heri na ajifungue salama huku yeye mwenyewe akiandika Sasa huku ndio kuchoka...


No comments:

Post a Comment