Unapozungumzia Mixing,Cutting na Scratching(mikuno) zilizoenda shule basi hutoacha kumtaja Dj summer,Jumamosi Ya Tar 30-11-2013 pale escape one kwenye fainali za Epiq bongo star search Dj summer atatimua vumbi la hatariiiii kwenye burudani.Hii si ya kukosa wala kusimuliwa ni vizuri ukajioneee mwenyeweee kwa macho yako!!!!!!SHHHHHHHHHH KAUSHAAAAAAAA!!!!!
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinaz...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment