IDADI YA WALIOKUFA KUPOROMOKA KWA JENGO YAFIKIA 52
Watu
waliopoteza maisha katika jengo la biashara lililoporomoka paa Alhamisi
jioni jijini Riga nchini Latvia wamefikia 52. Shughuli za uokoaji bado
zinaendelea na Latvia imetangaza siku tatu za maombolezo kuanzia leo
Novemba 23 mwaka huu.
No comments:
Post a Comment