Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, November 27, 2013

PESA INAONGEAAA::PREZZO AONYESHA BUNDUKI YAKE YA "AK 47" IKIWA NI YA DHAHABU TUPU.!!



Rapcellency, da prezident na mfalme wa bling Prezzo wa 254 ameamua kukata vilimilimi vya haters wake kwa kuamua kumuweka hadharani mlinzi wake, bunduki ya AK 47, na kikubwa zaidi ni Gold Plated .
Prezzo
Prezzo amekuwa akizungumza na haters wake kwa vitendo, kwa kupost Instagram picha mbalimbali zinazoonesha kuwa hana ‘njaa’ kama walivyowahi kusema baadhi ya ‘maadui’ zake wakiwemo Huddah pamoja na dada mwingine aitwaye Ashley Toto waliowahi kusema amepigika.
Prezzo AK47
Katika picha ya bunduki Prezzo aliandika “Nobody lied…….. iam a star & got a chopper in the car #TrulyUnruly #Rapcellency”
Katika picha nyingine shemeji yetu Prezzo ameonesha saa yake ya Rolex pamoja na pete vyote vikiwa ni Gold.
Prezzo Rolex
“I know u want the finer things in life & I can get em 4 u, all u have to do is decide how bad u want em’ #Rolex KissThePinkyRing #Rapcellency #TrulyUnruly” aliandika Prezzo katika picha hii
Source: Bongo5 
 

No comments:

Post a Comment