Nakumbuka
Waziri wa ujenzi John Magufuli aliwahi kusema moja kati ya mbinu kubwa
za kurahisisha miundombinu na kupunguza foleni kwenye jiji linaloongoza
kwa kuwa na magari mengi Tanzania (Dar es salaam) ni kuanzisha kivuko
ambacho kitakua na safari kati ya Dar na Bagamoyo.
Ni
miongoni mwa mipango ambayo itatekelezwa ili kupunguza foleni lakini pia
kurahisisha usafiri pamoja na kupunguza idadi ya ajali za barabarani
ambazo zimekua zikitokea kutokana na uzembe wa Wamiliki na Madereva wa
mabasi ya abiria.
No comments:
Post a Comment