Pages

Sunday, November 24, 2013

TAZAMA PICHA ZA MAZISHI ZA JAMAA ALIYEUA NA KISHA KUJIUA MWENYEWE KWA RISASI JIJINI DAR



Ni Gabriel Munissi ambae alijiua kwa risasi Ilala Dar es salaam November 19 2013 baada ya kuua
watu wengine wawili kwa risasi asubuhi kati ya saa moja na saa mbili, amezikwa kwao Nkoshashi Wilaya ya Hai Kilimanjaro leo November 22 2013.
Gabriel ambae amefariki akiwa na umri wa miaka 31, anadaiwa kufanya mauaji ya watu wawili aliowasubiria nje ya geiti wakitoka nyumbani kwao (waliouwawa) huku chanzo kikitajwa kwamba ni kisa cha kimapenzi.
Kama alijua kitakachotokea, alichokiandika cha mwisho kwenye page yake ya facebook kiko chini kabisa mwa hii post.
8
7Baba na mama wa Marehemu.
6
5Mkuu wa Bandari ya Bukoba Ernest Nyambo, Athuman Tippo na Waziri Kabago wakiwa na brothers wengine waliojumuika kumzika Gabriel.
4Nyambo akizungumza na baba mzazi wa Marehemu.
2
1
Hii ni status ya mwisho ya Gabriel kwenye facebook
Hii ni status ya mwisho ya Gabriel kwenye facebook.
Credit:millardayo

No comments:

Post a Comment