Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, November 30, 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE 30/11/2013

 
WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz


UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
            TAREHE 30/11/2013.

[Mikoa ya Tabora, Kigoma na Shinyanga]:
[Mikoa ya  Mara, Kagera na Mwanza]:
[Mikoa ya Iringa,  Mbeya  na  Rukwa]:

.
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mkoa wa Ruvuma ]:
[ Morogoro Kusini]:


Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya  maeneo na vipindi vifupi vya jua
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Tanga, Dar-Es-Salaam na Pwani]:  
[Morogoro Kaskazini]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:



Hali ya mawingu kiasi, mvua katika  maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Singida na Dodoma ]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

ANGALIZO: ONGEZEKO LA MVUA LINATEGEMEWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA   
                                       MIKOA YA LINDI, MTWARA, RUVUMA NA MAHENGE

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Kiwango cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo (Saa)
ARUSHA
28°C               
17°C               
12:17
12:31
D'SALAAM
32°C           
23°C
11:59
12:27
DODOMA
32°C
19°C
12:15
12:36
KIGOMA   
28°C
20°C
12:40
01:02
MBEYA
30°C
18°C
12:19
12:53
MWANZA
28°C
19°C
12:32
12:44
TABORA
31°C
18°C
12:28
12:50
TANGA
32°C
23°C           
12:03
12:25
ZANZIBAR
31°C           
23°C            
11:59
12:27

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kaskazini Mashariki; kwa kasi ya km 10 kwa saa; kwa
                                   Pwani ya Kaskazini  na kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
                             
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo.  
                           
Matazamio kwa siku ya Jumatatu: 02/12/2013: Mabadiliko kidogo    
                                                                       
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 30/11/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

No comments:

Post a Comment