Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimfariji Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara),
Philip Mangula wakati alipokwenda nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar
es salaam Novemba 27, 2013kumpa pole kufuatia kifo cha mwanae, Peter
Philip Mangula kilichotokea Novemba 26, kwenye hospitali ya Taifa ya
Muhimbili. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Teknolojia : Shule Soft na Selcom Wazindua Mfumo wa Kulipa Ada kwa Namba
Maalum
-
KAMPUNI ya Shule Soft, kwa kushirikiana na Selcom Tanzania, imezindua mfumo
mpya wa ulipaji ada ambao unatumia namba maalum ili kuwatambua wanafunzi
wali...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment