HII NDIO YUMBA YA KIFAHARI YA MCHEZAJI GARETH BALE IMEPIGWA BEI UINGEREZA
Mkali
huyu wa soka mwenye umri wa miaka 24 ambae ameihama Tottenham Hotspur
na kujiunga na Real Madrid hivyo ameamua kuiuza nyumba yake ya vyumba
vitano iliyopo Uingereza kwa £2.2million ili akaanze maisha mengine huko Madrid.
No comments:
Post a Comment