First lady wa label ya YMCMB Nicki Minaj amesherehekea birthday yake ya kutimiza miaka 31 na mafanikio ya kujivunia kwenye kazi yake ya muziki ambapo party ilifanyika huko L.A na restaurant nzima ilibadilika rangi yake na kuwa ya pink maalum kwa ajili ya party ya Minaj ambayo ilihudhuriwa na Lil Twist,Safaree boyfriend wa Nicki Minaj na watu wengine.
Sakata la Mwigizaji Maarufu nchini na familia ya Baba wa Taifa Mwalimu
Nyerere lachukua sura mpya
-
SAKATA LA MWIGIZAJI MAARUFU NCHINI Steve Nyerere na familia ya Baba wa
Taifa Mwalimu Nyerere lachukua sura mpya baada ya wazee wa kanda ya ziwa
kuingilia...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment