Waziri
wa Uchukuzi,Dr Harisoni Mwakembe afanya ukakuguzi wa tiketi ilikubaini
mabasi yaliyo toza gharama kubwa za nauli zakusafiria katika kipindi cha
Xmass na mwaka mpya,badhi ya mabasi yalikamatwa nakuamuliwa kurudisha
nauli zilizozidi abiria wao.zoezi hilo limefanyika majira ya alfajiri
katika eneo la Visiga mkoani pwani na kila basi lilozidisha nauli
lilitozwa faini ya shilingi laki mbili na nusu.
Bilioni 12.8 zatumika Matengenezo ya Km 13.1 za barabara Iringa-Mtera
-
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Barabara Mhandisi Rashid Kalimbaga
akimuelekeza jambo Meneja wa TANROADS Iringa Mhandisi Yudas Msangi
(alieshika karatasi)...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment