Pages

Saturday, January 18, 2014

Dkt.Kikwete akutana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maali Seif Ikulu Dar.


 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad. Ikulu Dar.
 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad. 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, alipofika Ikulu Dar kuonana na Rais Kikwete (Picha na Salmin Said OMKR)
TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI MOTOMOTO(USIPITWEEEE)

No comments:

Post a Comment