Tafadhali
husika na kichwa tajwa hapo juu. Mhe. Naibu Waziri, Lazaro Nyalandu
atakutana na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini na wadau
mbalimbali wa sekta ya Maliasili na Utalii kutangaza rasmi matokeo ya
sense ya tembo iliyofanyika mwezi Oktoba na Novemba mwaka jana katika
mifumo ikolojia ya Selous – Mikumi na Ruaha – Rungwa.
Wizara inatoa mwaliko kwa waandishi wote kuhudhulia mkutano huo
utafanyika Ijumaa ya Tarehe 10/01/2014 saa 4:00 asubuhi katika Hoteli ya
Serena jijini Dar es Salaam. Imetolewa na Chikambi K. Rumisha Msemaji
wa Wizara ya Maliasili na Utalii 7/1/2014
MHESHIMIWA PINDA AWASILI GABORONE KUONGOZA MISHENI YA UANGALIZI YA UCHAGUZI
YA SADC NCHINI BOTSWANA
-
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza
Peter Pinda amewasili jijini Gaborone, Botswana tarehe 19 Oktoba, 2024.
Mhe. Mi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment