Pages

Monday, January 27, 2014

MPINGA CUP MZUNGUKO WA PILI MECHI ZILIZOFANYIKA KATIKA SHULE A MSINGI MUUNGANO MWISHONI MWA WIKI

100_1716 Wachezaji wa Timu ya Polisi Ufundi ya Temeke na Timu ya Lusaka ya temeke wakiwa wanawania mpira katika mechi mojawapo ya mashindano ya Mpinga Cup mzunguko wa pili, Timu ya Polisi Ufundi iliibuka na ushindi wa goli 1 – 0. 100_1717 Mchezaji wa Timu ya Kilimo Road ya Temeke akipiga moja ya mpira wa adhabu kuelekea katika lango la Timu ya Transforma ya Temeke, katika mchezo huu ndani ya dakika 90 timu zote zilitoka sare ya goli 1-1, na ndipo penalty zilpigwa ili kumpata mshindi na timu ya Transforma ilishinda kwa magoli 5 – 4. 100_1723 Mchezaji wa Timu ya Transforma ya Temeke akipiga moja ya penalti kuelekea katika lango la Timu ya Kilimo Road ya Temeke, katika mchezo huu ndani ya dakika 90 timu zote zilitoka sare ya goli 1-1, na ndipo penalti zilpigwa ili kumpata mshindi na timu ya Transforma ilishinda kwa magoli 5 – 4. 100_1724Mchezaji wa Timu ya Kilimo Road ya Temeke akipiga moja ya penalti kuelekea katika lango la Timu ya Transforma ya Temeke, katika mchezo huu ndani ya dakika 90 timu zote zilitoka sare ya goli 1-1, na ndipo penalty zilpigwa ili kumpata mshindi na timu ya Transforma ilishinda kwa magoli 5 – 4. 100_1726Mchezaji wa Timu ya Transforma ya Temeke akipiga moja ya penalti kuelekea katika lango la Timu ya Kilimo Road ya Temeke, katika mchezo huu ndani ya dakika 90 timu zote zilitoka sare ya goli 1-1, na ndipo penalti zilpigwa ili kumpata mshindi na timu ya Transforma ilishinda kwa magoli 5 – 4

No comments:

Post a Comment