MSANII MAARUFU WA KUNDI LA FUTUHI MZEE DUDE AFARIKI DUNIA
Mzee Dude enzi za uhai wake.
MSANII
wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude
amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini
Mwanza leo jioni!
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
SHILATU ATOA TAHADHARI UCHAGUZI
-
~ Aeleza Kuna maisha baada ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu Mpapura
Afisa Tarafa Mpapura Emmanuel Shilatu amewataka Wananchi kushiriki uchaguzi
wa Serikali ...
RAIS MAGUFULI NA HISTORIA ISIYOFUTIKA
-
Na Emmanuel J. Shilatu
Kama ambavyo Watanzania tunavyomkumbuka Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius
Nyerere kwa kusaidia ukombozi wa upatikanaji wa uhur...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment