Nchi hii imekuwa ikikumbwa na hali ngumu ya kisiasa tangu mapinduzi ya kiraia yaliyomwondoa mamlakani Hosni Mubarak.
Baadhi walihisi huo ndio ulikuwa mwisho wa siasa mbaya lakini baadaye rais aliyechaguliwa kihalali Mohammed Morsi, aliondolewa mamlakani na jeshi.Chanzo BBC Swahili
No comments:
Post a Comment