Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Makamishna wawili wa Tume ya
utumishi wa Mahakama katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es
Salaam leo.Walioapishwa katika hafla hiyo ni Dkt.Angelo Mtitu Mapunda na
Mhe.Georgina Mulebya.Pichani Makishna hao Dkt.Angelo Mtitu M apunda na
Mhe.Georgina Mulebya wakila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete(picha na Freddy Maro).
Benki ya CRDB Yatunukiwa Tuzo za 'Benki Bora' na 'Benki Salama' Tanzania na
Jarida la Global Finance
-
*Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto),
akipokea tuzo ya 'Benki Bora Tanzania' kutoka kwa Joseph Giarraputo,
Mwanzilishi na M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment