Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, February 1, 2014

HII NDIO TATOO YA MSANII COUNTRY BOY ITAZAME HAPA

???
Msanii kijana anayefanya vizuri kwenye game hili la Hip Hop hapa bongo anajulikana kwa jina la Country Boy jana alionekana akichora tattoo ya pili katika mwili wake ikionyesha majina ya family yake akimaanisha jina la kwanza la mama pamoja na watoto wake wanne akiwemo na yeye mtoto wa mwisho kama inayoona katika picha.
Nilipomuuliza kwanini majina hayo ya familia alinijibu yeye anachokiona cha kwanza katika maisha yake ni familia yake kwanza halafu mengine yatafuata.chanzo dj choka
???

No comments:

Post a Comment