Pages

Monday, March 24, 2014

Malaysia:Ndege ilianguka baharini Na Hakuna Aliyepona


Waziri mkuu wa Malaysia Najib Razak
Shirika la ndege la Malaysia limewaambia jamaa na familia za abiria waliokuwa wanasafiri kwa ndege iliyotoweka MH370 kwamba ndege hiyo imepotea na kwamba hakuna manusura.
Tangazo hilo limetolewa kwa familia hizo kwa njia ya ujumbe wa simu ya mkononi , ambao BBC iliweza kuuona.
Ndege ya Malaysia MH320 ilitoweka ikiwa na abiria 239 baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur tarehe 8 mwezi huu.
Aidha tangazo hilo limekuja huku juhudi za kutafuta mabaki ya ndege hiyo Kusini mwa Bara Hindi zikimalizika kwa siku ya tano bila mafaniko.
Waziri mkuu wa Malaysia amesema kuwa ndege hiyo ilianguka Kusini mwa Bahari Hindi, bila ya manusura wowote.
Aliambia waandishi wa bahari kuwa udadisi uliofanyiwa data ya Satelite kutoka Uingereza ndio umewathibitishia kwamba ndege hiyo ilimalizia safari yake Magharibi mwa mji wa Perth mbali na eneo lolote la kutua.
Ameomba vyombo vya habari kuheshimu familia za watu waliokuwa ndani ya ndenge hiyo, akisema kuwa anasikitishwa sana kwani kipindi chote walichosubiri taarifa njema , mwishowe imekuja kuwa taarifa mbaya hata zaidi.
Ndege ya Malaysia MH-370, ilipoteza mawasiliano wiki mbili zilizopita na meli za nchi mbali mbali pamoja na ndege zimekuwa zikitafuta angalau mabaki ya ndege hiyo bila ya kupata chochote.

Malaysian Prime Minister Najib Razak today said a new analysis of satellite data shows that the missing Malaysia Airlines plane plunged into the southern Indian Ocean


Relatives of passengers aboard Malaysia Airlines flight MH370 have been informed the plane ended its journey in the southern Indian Ocean

The families of the passengers on the missing plane are due to be booked on to flights to take them to Australia

The announcement was made as an Australian navy ship was on its way today to retrieve two new objects spotted by military aircraft and marked by flares in the search for the missing Malaysia Airlines jet
So far, ships in the international search effort have been unable to locate several 'suspicious' objects spotted by satellites in grainy images or by fast-flying aircraft over a vast search area in the remote southern Indian Ocean

Selamat Omar, the father of a 29-year-old aviation engineer who was on the flight, said some members of families of other passengers broke down in tears at the news

View from a Royal Australian Air Force AP-3C Orion from RAAF base Pearce on assignment to the southern Indian Ocean to search for possible debris from the Malaysia Airlines flight MH370
Crew on an Australian military aircraft have spotted two new objects in the southern Indian Ocean. Pictured is Flt Lieutenant Adam Francki and Warrant Officer Brenton Bell in the cockpit of a Royal Australian Air Force AP-3C Orion


No comments:

Post a Comment