kupitia ukurasa wake wa Facebook Hamisi kaandika "Nimenusurika
kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia na
bahati yako nimekukosa, nililenga kichwa....kijana mmoja alikaa mbele
yangu amepigwa risasi kwenye paji la uso, sijui kama amenusurika! Vijana
wamenilinda kwa ujasiri bila hofu. Leo askari wamenikamata kwa staha.
Siwezi kukubali kamwe dhulma ya mabepari dhidi ya wanyonge! Niliwaahidi
na niliapa kuwatetea..."
Wananchi Hai, Fuoni kata tano kupiga kura kuchagua Wabunge na Madiwani
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufaa Mhe. Jacobs
Mwambegele leo Desemba 29,2025 amesoma risala maalum kuhusu uchaguzi wa
ubunge ka...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment