Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea salama ya heshima kutoka Jeshi la Polisi kabla ya hotuba ya uzinduzi wa Bunge maalum la Katiba leo mjini Dodoma. |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutuba Bunge Maalum la Katiba wakati wa sherehe za uzinduzi wa Bunge hilo leo mjini Dodoma |
Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Maalim Mh. Seif Sharif Hamad (kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mh. Omar Othman Makungu(Katikati) na Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Amaan Abeid Karume Wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa Hotuba ya Uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba Mjini Dodoma. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya Pamoja na Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Leo Mjini Dodoma.(Picha na Idara ya Habari-MAELEZO) |
No comments:
Post a Comment