Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, March 8, 2014

RAIS KIKWETE AWAONGOZA VIONGOZI MBALI MBALI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KUMFARIJI MH. SOPHIA SIMBA KWA KUFIWA NA MWANAE LEEFORD SIMBA


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na Watoto Mhe.Sophia Simba kufuatia kifo cha mwanaye Marehemu Leeford Simba huko Mikocheni jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pole na kumfariji Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe.Sophia Simba kufuatia kifo cha Mwanaye Leeford Simba wakati wa ibada ya kumuombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leedford anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Neema Mathew(kulia) na waombolezaji wengine kufuatia kifo cha Mumewe Leeford Simba kilichotokea juzi. Marehemu Leeford Simba ni mtoto wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii jinsia na Watoto Mhe.Sophia Simba.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu,Mh. Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Leeford Simba ambaye ni Mtoto wa Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba wakati wa ibada ya kumuombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu,Mh. Benjamin Mkapa akimfariji mtoto wa Marehemu Leeford Simba ambaye ni Mtoto wa Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba wakati wa ibada ya kumuombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Mke wa Makamu wa Rais,Mama Zakhia Bilal akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Leeford Simba ambaye ni Mtoto wa Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba wakati wa ibada ya kumuombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho kwa Marehemu Leeford Simba ambaye ni Mtoto wa Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba wakati wa ibada ya kumuombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.



Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Mhe. Sophia Simba kufuatia kifo cha mwanaye,Marehemu Leeford Simba,Masaki jijini Dar es Salaam leo.Marehemu Leeford Simba amezikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment