Ungo ukipitishwa...Changia Unachoweza..
Wadau wa PPF wakiserebuka
Doroth
Kaiyuzi , Kutoka Chama cha Wasioona Akisoma Risala mbele ya Wageni
Rasmi katika Maadhimisho ya Sikukuu ya Wanawake yaliyofanyika katika
Uwanja wa Mwembe Yanga, Jijini Dar Es Salaam, tarehe 8 Machi 2014
Wakazi
wa Jiji la Dar wakitembelea Mabanda mbalimbali yaliyopo katika uwanja
huo wa Mwembe Yanga wakati wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wanawake Duniani
hapo tarehe 8 Machi 2014.Picha Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.
No comments:
Post a Comment