Pages

Monday, April 21, 2014

ADHA YA MVUA MOROGORO

Maji yakiwa yamejaa
Mto ukiwa umejaa
Nyumba ikiwa imezingilwa na maji
Baadhi ya watu wakiwa wamekumbwa na Mafuriko Njiani
Vibanda vikiwa vimejaaa maji

Karavati likiwa limezingilwa na Maji
Maji yakiwa yanaongezeka maeneo mbalimbali
Mazao yakiwa yamekumbwa na maji



No comments:

Post a Comment