Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, April 29, 2014

Basi la Hood Lateketea kwa moto, abiria wanusurika

Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.

No comments:

Post a Comment