Pages

Wednesday, April 30, 2014

KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI AMKARIBISHA RAIS KIKWETE ARUSHA

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt.Richard Sezibera akimkaribisha Rais  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya hiyo unaofanyika leo (picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment