Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, April 23, 2014

MWAKYEMBE AZURU MAENEO YALIYO KUMBWA NA MAFURIKO MBEYA KYELA

Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu
 Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko
 Baadhi ya watu mbalimbali wakiwa wanashuhudia Mafuriko hayo muda huu
 Gari Likiwa limekwama katika tope lililotokana na Mafuriko hayo, hili ni eneo la Bujonde 
na mbeya yetu

No comments:

Post a Comment