Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, (SACP) Deusdedit Nsimeki, (kulia) akiwa na polisi wengine wa mjini Babati, wakati akiwaonyesha waandishi wa habari baadhi ya misokoto 6,000 ya Bangi waliyoikamata kwenye mabasi mawili hivi karibuni ambayo ilikuwa imewekwa kwenye mikate iliyokuwa imesafirishwa na watu wawili,ambao wamewekwa ndani.
MSAJILI WA MAHAKAMA AWATAKA WADAU HAKI JINAI KUSHIRIKIANA
-
Na Oscar Nkembo
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Eva Kiaki Nkya, amezitaka
taasisi zilizopo kwenye mnyororo wa haki jinai kuendelea kushirikiana...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment