Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, (SACP) Deusdedit Nsimeki, (kulia) akiwa na polisi wengine wa mjini Babati, wakati akiwaonyesha waandishi wa habari baadhi ya misokoto 6,000 ya Bangi waliyoikamata kwenye mabasi mawili hivi karibuni ambayo ilikuwa imewekwa kwenye mikate iliyokuwa imesafirishwa na watu wawili,ambao wamewekwa ndani.
MCHUNGAJI TENGWA AWATAKA WANASIASA KUTUMIA BUSARA KIPINDI CHA UCHAGUZI
-
Mwalimu Kiongozi wa huduma ya matengenezo ya kiroho Augustine Tengwa
ameviomba vyama vya siasa nchini kutogombania madaraka kuilinda amani ya
Tanzania
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment