Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, April 30, 2014

POLISI MJINI BABATI YAKAMATA MISOKOTO 6,000 KWENYE MABASI MAWILI AMBAYO ILIKUWA IMEWEKWA KWENYE MIKATE


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, (SACP) Deusdedit Nsimeki, (kulia) akiwa na polisi wengine wa mjini Babati, wakati akiwaonyesha waandishi wa habari baadhi ya misokoto 6,000 ya Bangi waliyoikamata kwenye mabasi mawili hivi karibuni ambayo ilikuwa imewekwa kwenye mikate iliyokuwa imesafirishwa na watu wawili,ambao wamewekwa ndani.


No comments:

Post a Comment