Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya kalenda kutoka kwa Msajili wa Baraza la Uuuguzi na Ukunga Tanzania Mama Lena Mfalila wakati alipokutana na uongozi wa baraza hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo April 29, 2014. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif S. Rashid.Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya kumbukumbu na viongozi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania alipokutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo April 29, 2014. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif S. Rashid
RENMIN ,SHULE YA UONGOZI MWALIMU NYERERE WASAINI MKATABA WA KUBADILISHANA
UZOEFU
-
Kutoka kushoto ni Mkuu wa Chuo Cha Renmin Prof.Zhang Donggang na
Prof.Marcellina Chijoriga wakisaini mkataba huo.
Kutoka kushoto ni Naibu Mkuu wa Chu...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment