Pages

Wednesday, April 30, 2014

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA

Rais  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Arusha(AICC) kwenye mkutano
wa 12 wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika mjini
Arusha.Rais Kenyatta ndiye mwenyekiti wa jumuiya hiyo ya wnanachama watano.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais
Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakijadiliana jambo kabla ya ufunguzi wa
Mkutano wa siku moja wa  wakuu wa nchi za  Jumuiya ya Afrika Masharariki
uliofanyika mjini Arusha leo(picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment