Pages

Wednesday, April 2, 2014

Sheikh Abubakar Sharif Makaburi apigwa risasi na kufa


Kiongoz wa Waislam wa mrengo wa siasa kali anayeitwa Abubakari Sharif 'maarufu kama MAKABURI ameuliwa kwa kupigwa risasi nchini Kenya.

Mpaka sasa hivi haijafahamika nani aliyempiga risasi na kusudio la kufanya hivyo ni kwa matakwa gani.SOURCE JF

BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGIII

No comments:

Post a Comment