Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi wa Robo tatu ya mwaka Julai-Machi 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Baadhi ya maafisa wa idara mbali mbali zaOfisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais wakiwa katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi wa Robo tatu ya mwaka Julai-Machi 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo asubuhi,mwenyekiti wake akiwa ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.]Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
TANZANIA NI NCHI INAYOHESHIMU DEMOKRASIA
-
Na Linda Akyoo -Moshi.
Ikiwa imebaki siku moja kuelekea uandikishaji wa wapiga kura katika Daftari
la Orodha ya Wapiga kura(Daftari la Makazi),Mkuu wa Mk...
28 minutes ago
No comments:
Post a Comment