MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AKIINGIA KWENYE OFISI ZA MKOA WA MARA
MKUU WA TAKUKURU AKISALIMIANA NA ERICK KIWIA AMBAYE NI MWENDESHA MASHITAKA WA TAKUKURU
NI KUENDELEA KUSALIMIANA NA MAAFISAA WA TAKUKURU
MKUU WA TAKUKURU MKOA WA MRA HOLLE MAKUNGU KUSHOTO AKIWA NA MKRUGENZI MKUU MAAFISA WA TAKUKURU WAKIFATILIA MAELEZO YA UFUNGUZI WA JENGO TUKO PAMOJA KLABU YA WATOTO WAPINGA RUSHWA KUTOKA SHULE YA MSINGI MUKENDO WAZEE WA KIMILA WAKIMVISHA MKURUGENZI MKUU VAZI LA JADI KAMA ISHARA YA UONGOZI NA MANENO YA HEKIMA ALIAMBIWA
NI KAMA ANASEMA,NAWASHUKURUNI NTAENDELEA KUWATUMIKIA NAMI SIKUWA NYUMA BAADA YA SHAIRI MKONO WA SHUKRANI
No comments:
Post a Comment