Wachezaji wa Manchester United wakisikitika baada ya kipigo leo
GUNDU
bado lipo Manchester United licha ya kubadilisha kocha, baada ya jioni
hii kufungwa bao 1-0 na Sunderland katika mchezo wa Ligi Kuu ya England
uliofanyika Uwanja wa Old Trafford.
Kipigo
hicho katika mchezo wa pili wa Ryan Giggs tangu arithi mikoba ya David
Moyes, kinaipa ahueni Sunderland na kuipeusha kwenye balaa la kushuka
daraja.
Sebastian Larsson akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la ushindi Sunderland
Makocha wapya, gundu pale pale: Kocha Mkuu, Ryan Giggs na wasaidizi wake Nicky Butt na Paul Scholes leo
No comments:
Post a Comment