Bao pekee la John Bocco lililofungwa kipindi cha
kwanza limeifanya Taifa Stars iibuke na ushindi katika mchezo wa kwanza
kutafuta nafasi ya kuingia kwenye makundi ya kusaka nafasi ya kwenda
Morocco mwakani katika kinyang’anyiro cha kombe la mataifa ya Africa.
Hizi ni baadhi ya taswira kutoka uwanjani.

Timu zikiingia uwanjani

Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij akiingia uwanjani

Timu uwanjani zikisubiri kukaguliwa

Rais wa TFF Jamal Malinzi akilisamia benchi la ufundi la Taifa Stars

Krosi ya Thomas Ulimwengu

John Bocco aliwanyanyua mashabiki wa Taifa Stars

Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka beki wa Zimbabwe

Ulimwengu alikuta mwingi akichezewa madhambi na wachezaji wa Zimbabwe

Heka heka langoni

Pamoja na Zimbabwe kumiliki mpira kwa muda mrefu kipindi cha kwanza Stars iliendelea kuwa imara

Mashabiki walikuwa mstari wa mbele kuishangilia Taifa Stars

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alikuwa mmoja waliojitokeza kuishangilia timu ya taifa

Mbwana Samata akijaribu kumtoka beki

John Bocco aliendelea kuwa mwiba mkali kwa Zimbabwe

Deogratias Munishi “Dida” alikuwa shujaa wa mchezo
No comments:
Post a Comment