Mazishi ya mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana yamefanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar siku ya jana. Kabla ya mazishi mwili wa marehemu uliagwa na maelfu ya watu pamoja na watu mashuhuri pamoja na viongozi wa kisiasa nchini katika Viwanja vya Leaders jijini Dar. Mungu ailaze roho ya marehemu, mahali pema peponi. AMEN!
HARAMBEE YA MWEZESHE ATEMBEE YAKUSANYA BILIONI 1
-
GSM Foundation kwa kushirikiana na Hospitali ya CCBRT na klabu ya Yanga
waliendesha Harambee ya Mwezeshe atembee kwa ajili ya kukusanya fedha ili
kutibu ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment