Pages

Wednesday, June 4, 2014

MAZISHI YA BABA WA MBUNGE MARTHA MLATA JANA



Mbunge Martha Mlata akifarijiwa na waliohudhuria mazishi ya baba yake mzazi. Kushoto ni Katibu Mwenezi wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania ‘CHAMUITA,’ Stella Joel na mwakilishi wa wasanii wa filamu, Dokii.



Baadhi ya wabunge na ndugu wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya kaburi la baba mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida ambaye pia ni msanii wa nyimbo za injili, Martha Mlata.

No comments:

Post a Comment