Mbunge Martha Mlata akifarijiwa na waliohudhuria mazishi ya
baba yake mzazi. Kushoto ni Katibu Mwenezi wa Chama cha Muziki wa Injili
Tanzania ‘CHAMUITA,’ Stella Joel na mwakilishi wa wasanii wa filamu, Dokii.
Baadhi ya wabunge na ndugu wakiwa katika picha ya pamoja
mbele ya kaburi la baba mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida ambaye
pia ni msanii wa nyimbo za injili, Martha Mlata.
No comments:
Post a Comment