Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda akizungumza na Wabunge Zainab
Kawawa wa Viti Maalum (kushoto), Sylivester Mabumba wa Dole (wapili kushoto), Vita Kawawa
wa Namtumbo na Mwanaharakati wa Haki za Wanawake na Watoto, Mama Terry Gbemudu
(kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Mawsali Bungeni mjini
Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na
Uwezeshaji ambaye pia ni Mbunge wa
Hanang, Dr. Mary Nagu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Ndege akiwa kwenye zuria la Bungeni mjini Dodoma Juni 5,
2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment