Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na
Mjumbe Maalumu wa Rais Jacob Zuma wa Afrika kusini ambaye pia ni Waziri wa
Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mama Maite Nkoana-Mashabane Ikulu jijini Dar es
salaam leo Mei 6, 2014, Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe
Bernad Membe alikuwepo pia. PICHA NA IKULU
KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA
-
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia
leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment