MHE. RIDHIWANI ABAINISHA MIKAKATI YA SERIKALI KUWEZESHA VIJANA KUMUDU
USHINDANI SOKO LA AJIRA
-
BUNGE limeelezwa mikakati mitano inayofanywa na serikali katika kukabiliana
na tatizo la ajira kwa vijana nchini na namna kumudu ushindani kwenye soko
la a...
1 hour ago
Ningeomba serikali suala la ajira ilichunguze vzr sana,Maana imefikia hatua hat sehemu za za kufanyia mazoezi kwa vitendo katika idara zilizo chini ya serikali nafasi zinatolewa kwa misingi ya ninani na anafahamikaje.Vilevile serikali ichunguze na ajira za mabenki yaliyo chini yake,TRA na idara nyinginezo.Zimeoza kabisa kama huna ndg siku hizi tunasema refa hupati nafasi ya kazi hapa TZ.
ReplyDelete