Salma jabu nisha ndio msanii pekee namba
moja ambae anaongoza kwa filamu zake na alizo shiriki kuwa zinaongoza kwa mauzo
sokoni mpaka sasa hajapatikana wa kumpiku hii ina tokana na uhodari wake wa
kujituma na kujiheshimu na kuwapa radha mashabiki wake na Rekodi yake
haijavunjwa mpaka sasa sokoni na kupachikwa jina la Diva wa soko la
filamu tanzania
Walimu 1500 wa Mkoa wa Singida wafikiwa na Kliniki ya Samia
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akizungumza na viongozi wa Chama cha
Walimu Tanzania (CWT) mara baada ya kufungua Kliniki ya Samia ya kutatua
chang...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment