Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa
Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza,
Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza August 22, 2014 ambako August 23, 2014
anatarajiwa kuongoza harambee iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
KAMATI YA BUNGE YAELEKEZA UJENZI WA SHULE MPYA ZA MULEBA ZIKAMILIKE APRILI,
2025
-
OR-TAMISEMI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeuagiza uongozi wa Wilaya ya
Muleba, Mkoa wa Kagera, kuhakikisha ujenzi wa Shule ya Sekondari Biija na ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment