Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, September 8, 2014

EPUKA MAMBO HAYA KAMA MPENZI WAKO YUKO FACEBOOK


1.Kuendelea kutunza “status”  isemayo kwamba hauna mpenzi  yaani “single”. Au “Its  complicated” wakati tayari uko  kwenye mahusiano.

 2.Kuendelea kuwa na picha za mwenza wako ulieachana nae (ex) facebook kutamuumiza mpenzi wako na kusababisha migogoro wakati mwingine.


3. Kuwaomba urafiki, marafiki wa mpenzi wako kabla ya kuonana nao.
4. Kuwa na marafiki wengi wa jinsia tofauti na kutumia muda mwingi kuchat nao kutamfanya mwenza wako kutokuwa na imani na wewe.




5.Kum “Tag” mtu wa jinsia tofauti picha ambayo umepiga peke yako huashiria kwamba unataka akuone! Hii sio nzuri kwa mahusiano. Tagging humaanisha kwamba unamtambulisha mtu uliyepiga nae picha.

ENDELEA KUSOMA MAKALA HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

6.Usipende Kuandika  ujumbe wowote kwenye ukurasa wa mwenza wako wa zamani 


7. Kuingia kwenye profile ya mtu wa jinsia tofauti na kuanza ku ‘like’ na ku ‘comment’ picha, hii haina picha nzuri kwa mwenza wako. Kumbuka facebook hutoa taarifa ya kila unachokifanya kwa rafiki zako.


8.Wivu uliokithiri, hii hasa hutokea pale unapomuona mwenza wako yuko “online” alafu hajibu message zako wala kucomment  kwenye picha au status uliyotuma
9.Kutomtakia “happy birthday” siku yake ya kuzaliwa kwenye ukurasa wake. Anaweza asikuambie, ila atajisikia vibaya sana kupewa heri ya kuzaliwa na kila mtu isipokuwa mpenzi wake.10.Kutaka password ya akaunti yake ya facebook ili kusoma ujumbe aliotumiwa. Utaumia moyo, acha!

MAKALA HII NA KUMI MUHIMU

No comments:

Post a Comment